Skip to content
Yeremia 10:17-18

Yeremia 10:17-18

17
Kusanyeni mali na vitu vyenu mwondoke nchi hii, enyi mnaoishi katika hali ya kuzingirwa na jeshi.
18
Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana: “Wakati huu, nitawatupa nje kwa nguvu wote waishio katika nchi hii; nitawataabisha ili waweze kutekwa.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options