Skip to content
Yeremia 1:13-14

Yeremia 1:13-14

13
Neno la Bwana likanijia tena, “Unaona nini?” Nikajibu, “Naona chungu kinachochemka, kikiwa kimeinama kutoka kaskazini.”
14
Bwana akaniambia, “Kutoka kaskazini maafa yatamwagwa kwa wote waishio katika nchi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options