Skip to content
Yeremia 1:1-2

Yeremia 1:1-2

1
Maneno ya Yeremia mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani katika mji wa Anathothi, katika nchi ya Benyamini.
2
Neno la Bwana lilimjia katika mwaka wa kumi na tatu wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options