உள்ளடக்கத்திற்குச் செல்க
Yakobo 5:17-18

Yakobo 5:17-18

17
Eliya alikuwa mwanadamu kama sisi. Akaomba kwa bidii kwamba mvua isinyeshe, nayo haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu na miezi sita.
18
Kisha akaomba tena, nazo mbingu zikatoa mvua nayo ardhi ikatoa mazao yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options