Skip to content
Yakobo 3:7-8

Yakobo 3:7-8

7
Kwa maana kila aina ya wanyama, ndege, wanyama watambaao na viumbe vya baharini vinafugika na vimefugwa na binadamu,
8
lakini hakuna mtu awezaye kuufuga ulimi. Ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options