Skip to content
Yakobo 3:17-18

Yakobo 3:17-18

17
Lakini hekima itokayo mbinguni kwanza ni safi, kisha inapenda amani, tena ni ya upole, iliyo tayari kusikiliza wengine kwa unyenyekevu, iliyojaa huruma na matunda mema, isiyopendelea mtu, tena isiyokuwa na unafiki.
18
Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options