Skip to content
Yakobo 3:15-16

Yakobo 3:15-16

15
Hekima ya namna hiyo haishuki kutoka mbinguni, bali ni ya kidunia, isiyo ya kiroho, na ya kishetani.
16
Kwa maana panapokuwa na wivu na ubinafsi, ndipo penye machafuko na uovu wa kila namna.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options