Skip to content
Yakobo 1:9-10

Yakobo 1:9-10

9
Ndugu asiye na cheo kikubwa yampasa ajivunie hali hiyo maana ametukuzwa.
10
Lakini yeye aliye tajiri afurahi kwa kuwa ameshushwa, kwa sababu atatoweka kama ua la shambani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options