Skip to content
Yakobo 1:22-23

Yakobo 1:22-23

22
Basi kuweni watendaji wa Neno wala msiwe wasikiaji tu, huku mkijidanganya nafsi zenu.
23
Kwa maana kama mtu ni msikiaji tu wa Neno wala hatendi kile linachosema, yeye ni kama mtu ajitazamaye uso wake kwenye kioo
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options