Skip to content
Yakobo 1:19-20

Yakobo 1:19-20

19
Ndugu zangu wapendwa, fahamuni jambo hili: Kila mtu awe mwepesi wa kusikiliza, lakini asiwe mwepesi wa kusema wala wa kukasirika.
20
Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options