Isaya 8:14-15
14
naye atakuwa mahali patakatifu; lakini kwa nyumba zote mbili za Israeli atakuwa jiwe lile linalosababisha watu kujikwaa na mwamba wa kuwaangusha. Kwa watu wa Yerusalemu, atakuwa mtego na tanzi.
15
Wengi wao watajikwaa; wataanguka na kuvunjika, watategwa na kunaswa.”