Skip to content
Isaya 8:1-2

Isaya 8:1-2

1
Bwana akaniambia, “Chukua gombo kubwa, uandike juu yake kwa kalamu ya kawaida jina: Maher-Shalal-Hash-Bazi.
2
Nami nitawaita kuhani Uria, na Zekaria mwana wa Yeberekia kama mashahidi wangu waaminifu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options