Skip to content
Isaya 8:1-2

Isaya 8:1-2

1
Bwana akaniambia, “Chukua gombo kubwa, uandike juu yake kwa kalamu ya kawaida jina: Maher-Shalal-Hash-Bazi.
2
Nami nitawaita kuhani Uria, na Zekaria mwana wa Yeberekia kama mashahidi wangu waaminifu.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options