Skip to content
Isaya 65:18-19

Isaya 65:18-19

18
Lakini furahini na kushangilia daima katika hivi nitakavyoumba, kwa kuwa nitaumba Yerusalemu uwe wa kupendeza, nao watu wake wawe furaha.
19
Nami nitaifurahia Yerusalemu na kuwafurahia watu wangu; sauti ya maombolezo na ya kilio haitasikika humo tena.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options