Skip to content
Isaya 59:14-15

Isaya 59:14-15

14
Hivyo uadilifu umerudishwa nyuma, nayo haki inasimama mbali, kweli imejikwaa njiani, uaminifu hauwezi kuingia.
15
Kweli haipatikani popote, na yeyote aepukaye uovu huwa mawindo. Bwana alitazama naye akachukizwa kwamba hapakuwepo haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options