Isaya 57:18-19
18
Nimeziona njia zake, lakini nitamponya, nitamwongoza na kumrudishia upya faraja,
19
nikiumba sifa midomoni ya waombolezaji katika Israeli. Amani, amani, kwa wale walio mbali na kwa wale walio karibu,” asema Bwana. “Nami nitawaponya.”