Skip to content
Isaya 54:7-8

Isaya 54:7-8

7
“Kwa kitambo kidogo nilikuacha, lakini kwa huruma nyingi nitakurudisha.
8
Katika ukali wa hasira nilikuficha uso wangu kwa kitambo, lakini kwa fadhili za milele nitakuwa na huruma juu yako,” asema Bwana Mkombozi wako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options