Skip to content
Isaya 43:20-21

Isaya 43:20-21

20
Wanyama wa mwituni wataniheshimu, mbweha na bundi, kwa sababu ninawapatia maji jangwani, na vijito katika nchi kame, ili kuwapa watu wangu maji, wale niliowachagua,
21
watu wale niliowaumba kwa ajili yangu, ili wapate kutangaza sifa zangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options