Skip to content
Isaya 42:18-19

Isaya 42:18-19

18
“Sikieni, enyi viziwi; tazameni, enyi vipofu, mpate kuona!
19
Ni nani aliye kipofu isipokuwa mtumishi wangu, na kiziwi kama mjumbe ninayemtuma? Ni nani aliye kipofu kama yeye aliyejitoa kwangu, aliye kipofu kama mtumishi wa Bwana?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options