Skip to content
Isaya 40:6-7

Isaya 40:6-7

6
Sauti husema, “Piga kelele.” Nami nikasema, “Nipige kelele gani?” “Wanadamu wote ni kama majani, nao utukufu wao wote ni kama maua ya kondeni.
7
Majani hunyauka na maua huanguka, kwa sababu pumzi ya Bwana huyapuliza. Hakika wanadamu ni majani.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options