Skip to content
Isaya 38:2-3

Isaya 38:2-3

2
Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana:
3
“Ee Bwana, kumbuka jinsi nilivyoenenda mbele zako kwa uaminifu na kujitoa kwa moyo wangu wote, na kufanya yaliyo mema machoni pako.” Naye Hezekia akalia kwa uchungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options