Skip to content
Isaya 38:18-19

Isaya 38:18-19

18
Kwa maana kaburi haliwezi kukusifu, mauti haiwezi kuimba sifa zako; wale washukao chini shimoni hawawezi kuutarajia uaminifu wako.
19
Walio hai, walio hai: hao wanakusifu, kama ninavyofanya leo. Baba huwaambia watoto wao habari za uaminifu wako.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options