Isaya 2:13-17
13
kwa mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu sana, na mialoni yote ya Bashani,
14
kwa milima yote mirefu na vilima vyote vilivyoinuka,
15
kwa kila mnara ulio mrefu sana na kila ukuta wenye ngome,
16
kwa kila meli ya biashara, na kila chombo cha baharini cha fahari.
17
Majivuno ya mwanadamu yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitanyenyekezwa, Bwana peke yake ndiye atatukuzwa siku hiyo,
Settings