Skip to content
Isaya 18:1-2

Ole Nchi Iliyoko Ng’ambo ya Kushi

Isaya 18:1-2
1
Ole kwa nchi ya mvumo wa mabawa, kando ya mito ya Kushi,
2
iwapelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari kwa mashua za mafunjo juu ya maji. Nendeni, wajumbe wepesi, kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo, kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu, taifa gomvi lenye lugha ngeni, ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options