Skip to content
Isaya 14:13-15

Isaya 14:13-15

13
Ulisema moyoni mwako, “Nitapanda juu hadi mbinguni, nitakiinua kiti changu cha enzi juu ya nyota za Mungu, nitaketi nimetawazwa juu ya mlima wa kusanyiko, kwenye vimo vya juu sana vya Mlima Mtakatifu.
14
Nitapaa juu kupita mawingu, nitajifanya kama Yeye Aliye Juu Sana.”
15
Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu, hadi kwenye vina vya shimo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options