मुख्य मजकुरावर जा
Isaya 11:3-4

Isaya 11:3-4

3
naye atafurahia kumcha Bwana. Hatahukumu kwa yale ayaonayo kwa macho yake, wala kuamua kwa yale ayasikiayo kwa masikio yake,
4
bali kwa uadilifu atahukumu wahitaji, kwa haki ataamua wanyenyekevu wa dunia. Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, kwa pumzi ya midomo yake atawaua waovu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options