Skip to content
Isaya 10:22-23

Isaya 10:22-23

22
Ingawa watu wako, ee Israeli, ni wengi kama mchanga wa pwani, ni mabaki yao tu watakaorudi. Maangamizi yamekwisha amriwa, ni mengi tena ni haki.
23
Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, atatekeleza maangamizi yaliyoamriwa juu ya nchi yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options