Skip to content
Isaya 1:9-10

Isaya 1:9-10

9
Kama Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asingelituachia walionusurika, tungelikuwa kama Sodoma, tungelifanana na Gomora.
10
Sikieni neno la Bwana, ninyi watawala wa Sodoma; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora!
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options