Skip to content
Isaya 1:2-3

Isaya 1:2-3

2
Sikieni, enyi mbingu! Sikilizeni, enyi dunia! Kwa maana Bwana amesema: “Nimewalisha watoto na kuwalea, lakini wameniasi mimi.
3
Ngʼombe anamjua bwana wake, naye punda anajua hori la mmiliki wake, lakini Israeli hajui, watu wangu hawaelewi.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options