Skip to content
Hosea 6:1-2

Hosea 6:1-2

1
“Njooni, tumrudie Bwana. Ameturarua vipande vipande lakini atatuponya; ametujeruhi lakini atatufunga majeraha yetu.
2
Baada ya siku mbili atatufufua; katika siku ya tatu atatuinua, ili tuweze kuishi mbele zake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options