Skip to content
Waebrania 8:10-12

Waebrania 8:10-12

10
Hili ndilo agano nitakalofanya na nyumba ya Israeli baada ya siku zile, asema Bwana. Nitaziweka sheria zangu katika nia zao na kuziandika mioyoni mwao. Nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
11
Mtu hatamfundisha tena jirani yake, wala mtu kumfundisha ndugu yake akisema, ‘Mjue Bwana,’ kwa sababu wote watanijua mimi, tangu aliye mdogo kabisa kwao, hadi aliye mkuu sana.
12
Kwa sababu nitasamehe uovu wao, wala sitazikumbuka dhambi zao tena!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options