Skip to content
Waebrania 7:16-17

Waebrania 7:16-17

16
yeye ambaye amefanyika kuhani si kwa misingi ya sheria kama ilivyokuwa kwa baba zake, bali kwa misingi ya uwezo wa uzima usioharibika.
17
Kwa maana imeshuhudiwa kwamba: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options