Skip to content
Waebrania 6:9-10

Waebrania 6:9-10

9
Ingawa tunasema hivi, ndugu zangu wapendwa, kwa upande wenu tuna hakika ya mambo mema zaidi, mambo yale yahusuyo wokovu.
10
Mungu si mdhalimu: yeye hataisahau kazi yenu na upendo ule mlioonyesha kwa ajili yake katika kuwahudumia watakatifu na hata sasa mnaendelea kuwahudumia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options