Skip to content
Waebrania 2:2-3

Waebrania 2:2-3

2
Kwa kuwa kama ujumbe ulionenwa na malaika ulikuwa imara, na kila uasi na kutokutii kulipata adhabu ya haki,
3
je, sisi tutapaje kupona kama tusipojali wokovu mkuu namna hii? Wokovu huu, ambao mwanzo ulitangazwa na Bwana, ulithibitishwa kwetu na wale waliomsikia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options