Skip to content
Waebrania 12:18-19

Waebrania 12:18-19

18
Hamjaufikia mlima ule uwezao kuguswa na ambao unawaka moto; wala kwenye giza, utusitusi na dhoruba;
19
kwenye mlio wa tarumbeta, au kwenye sauti isemayo maneno ya kutisha kiasi ambacho wale walioisikia waliomba wasiambiwe neno jingine zaidi,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options