Skip to content
Waebrania 11:35-37

Waebrania 11:35-37

35
Wanawake walipokea watu wao waliokuwa wamekufa, wakafufuliwa. Lakini wengine waliteswa, nao wakakataa kufunguliwa, ili wapate ufufuo ulio bora zaidi.
36
Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani.
37
Walipigwa kwa mawe; walipasuliwa vipande viwili kwa msumeno; waliuawa kwa upanga. Walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na mbuzi, wakiwa maskini, wakiteswa na kutendwa mabaya,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options