Skip to content
Waebrania 11:24-25

Waebrania 11:24-25

24
Kwa imani, Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
25
Akachagua kupata mateso pamoja na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha kwa anasa za dhambi kwa kitambo kidogo tu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options