Skip to content
Waebrania 10:26-27

Waebrania 10:26-27

26
Kama tukiendelea kutenda dhambi kwa makusudi baada ya kupokea ufahamu wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi.
27
Lakini kinachobaki ni kungoja kwa hofu hukumu ya moto uwakao, utakaowaangamiza adui za Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options