15
Pia Roho Mtakatifu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:
16
“Hili ndilo Agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Bwana. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”
17
Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.”