Skip to content
Waebrania 10:15-17

Waebrania 10:15-17

15
Pia Roho Mtakatifu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:
16
“Hili ndilo Agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Bwana. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”
17
Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options