Waebrania 10:14-16
14
kwa sababu kwa dhabihu moja amewafanya kuwa wakamilifu milele wale wote wanaotakaswa.
15
Pia Roho Mtakatifu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:
16
“Hili ndilo Agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Bwana. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”
Settings