Skip to content
Waebrania 10:14-16

Waebrania 10:14-16

14
kwa sababu kwa dhabihu moja amewafanya kuwa wakamilifu milele wale wote wanaotakaswa.
15
Pia Roho Mtakatifu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:
16
“Hili ndilo Agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Bwana. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options