Skip to content
Waebrania 10:12-14

Waebrania 10:12-14

12
Lakini huyu kuhani akiisha kutoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi kwa wakati wote, aliketi mkono wa kuume wa Mungu.
13
Tangu wakati huo anangoja mpaka adui zake wawekwe chini ya miguu yake,
14
kwa sababu kwa dhabihu moja amewafanya kuwa wakamilifu milele wale wote wanaotakaswa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options