အကြောင်းအရာသို့ ကျော်သွားရန်
Waebrania 10:11-12

Waebrania 10:11-12

11
Kila kuhani husimama siku kwa siku akifanya huduma yake ya ibada, na kutoa tena na tena dhabihu zile zile ambazo haziwezi kamwe kuondoa dhambi.
12
Lakini huyu kuhani akiisha kutoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi kwa wakati wote, aliketi mkono wa kuume wa Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options