Skip to content
Waebrania 1:10-11

Waebrania 1:10-11

10
Pia asema, “Hapo mwanzo, Ee Bwana, uliweka misingi ya dunia, nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.
11
Hizo zitatoweka, lakini wewe utadumu; zote zitachakaa kama vazi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options