Skip to content
Habakuki 3:18-19

Habakuki 3:18-19

18
hata hivyo nitashangilia katika Bwana, nitamfurahia Mungu Mwokozi wangu.
19
Bwana Mwenyezi ni nguvu yangu; huifanya miguu yangu kama miguu ya ayala, huniwezesha kupita juu ya vilima. Kwa kiongozi wa uimbaji. Kwa vinanda vyangu vya nyuzi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options