Habakuki 3:18-19
18
hata hivyo nitashangilia katika Bwana, nitamfurahia Mungu Mwokozi wangu.
19
Bwana Mwenyezi ni nguvu yangu; huifanya miguu yangu kama miguu ya ayala, huniwezesha kupita juu ya vilima. Kwa kiongozi wa uimbaji. Kwa vinanda vyangu vya nyuzi.