Skip to content
Habakuki 2:9-10

Habakuki 2:9-10

9
“Ole wake yeye ajengaye milki yake kwa mapato ya udhalimu, awekaye kiota chake juu, ili kukimbia makucha ya uharibifu!
10
Umefanya shauri la maangamizi ya watu wengi, ukiaibisha nyumba yako mwenyewe, na kupotewa na maisha yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options