Skip to content
Mwanzo 9:9-11

Mwanzo 9:9-11

9
“Sasa mimi ninaweka Agano langu nanyi, pamoja na uzao wenu baada yenu,
10
pia na kila kiumbe hai kilichokuwa pamoja nanyi: Ndege, wanyama wa kufugwa na wanyama wote wa porini, wale wote waliotoka katika safina pamoja nanyi, kila kiumbe hai duniani.
11
Ninaweka Agano nanyi: Kamwe uhai hautafutwa tena kwa gharika, kamwe haitakuwepo tena gharika ya kuangamiza dunia.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options