Mwanzo 9:9-10
9
“Sasa mimi ninaweka Agano langu nanyi, pamoja na uzao wenu baada yenu,
10
pia na kila kiumbe hai kilichokuwa pamoja nanyi: Ndege, wanyama wa kufugwa na wanyama wote wa porini, wale wote waliotoka katika safina pamoja nanyi, kila kiumbe hai duniani.