Skip to content
Mwanzo 9:9-10

Mwanzo 9:9-10

9
“Sasa mimi ninaweka Agano langu nanyi, pamoja na uzao wenu baada yenu,
10
pia na kila kiumbe hai kilichokuwa pamoja nanyi: Ndege, wanyama wa kufugwa na wanyama wote wa porini, wale wote waliotoka katika safina pamoja nanyi, kila kiumbe hai duniani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options