Skip to content
Mwanzo 9:26-27

Mwanzo 9:26-27

26
Pia akasema, “Abarikiwe Bwana, Mungu wa Shemu! Kanaani na awe mtumwa wa Shemu.
27
Mungu na apanue mipaka ya Yafethi; Yafethi na aishi katika mahema ya Shemu, na Kanaani na awe mtumwa wake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options