Skip to content
Mwanzo 9:20-24

Mwanzo 9:20-24

20
Noa akawa mkulima, akawa mtu wa kwanza kupanda mizabibu.
21
Alipokunywa huo mvinyo wake akalewa na akalala uchi kwenye hema lake.
22
Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake na kuwaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
23
Lakini Shemu na Yafethi wakachukua nguo wakaitanda mabegani mwao wote wawili, kisha wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao zilielekea upande mwingine ili wasiuone uchi wa baba yao.
24
Noa alipolevuka kutoka kwenye mvinyo wake na kujua lile ambalo mwanawe mdogo kuliko wote alilokuwa amemtendea,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options