본문으로 건너뛰기
Mwanzo 8:11-12

Mwanzo 8:11-12

11
Wakati hua aliporejea kwa Noa jioni, alikuwa amechukua katika mdomo wake jani bichi la mzeituni, lililochumwa wakati ule ule! Ndipo Noa akajua ya kuwa maji yameondoka juu ya uso wa dunia.
12
Akangojea siku saba zaidi na akamtuma tena hua, lakini wakati huu hua hakurudi tena kwa Noa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options