Skip to content
Mwanzo 6:7-8

Mwanzo 6:7-8

7
Kwa hiyo Bwana akasema, “Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemuumba kutoka kwenye uso wa dunia, wanadamu na wanyama, pamoja na viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Kwa maana nasikitika kuwaumba.”
8
Lakini Noa akapata kibali machoni pa Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options